Breaking News

HUENDA SIMBA IKAPOKONYWA POINT TATU ZA MTIBWA!!

UTANI KIDOGO

Club ya Simba huenda ikapokonywa Point tatu zote na kupewa Wapinzani wao Mtibwa kutokana na Makosa ambayo wameyafanya ktk mchezo huo

Club ya Simba imekuwa ikifanya makosa mara kwa mara kutokana na Uongozi wao kutokuwa Makini

Awali Club ya Simba ilipeleka Majina yake ya Wachezaji ambao watakuwa wakifunga Mikoani na ktk Majina yaliyopelekwa TFF jina la EMMANUEL OKWI halikuwepo

Kwa hiyo Simba huenda ikapokonywa Point kutokana na kuvunja Sheria hiyo hivyo Point hizo watapewa Mtibwa

Souce udaku

No comments