Breaking News

MECHI YA SIMBA DHIDI YA KAKAMEGA YAPATA MGENI KUTOKA EVERTON

Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Everton na timu ya Taifa ya Nigeria, Yakub Aiyegbeni ametua nchini Kenya kwa ajili ya kuwa mgeni rasmi kwenye michezo miwili ya nusu fainali ya  kati ya Kakamega Home Boyz dhidi ya Simba saa 7 mchana na mchezo wa pili wa Gor Mahia  dhidi ya Singida United zitakazochezwa leo katika dimba la Afram Stadium Nakuru Kenya

No comments