Mwanasoka bora wa zamani wa dunia, Mreno Cristiano Ronaldo akikabidhiwa tuzo ya Globe Soccer baada ya kushinda kwa mara ya tano jana akiwapiku wachezaji walioipa Ufaransa Kombe la Dunia mwaka jana nchini Urusi, Kylian Mbappe na Antoine Griezmann
RONALDO ASHINDA TUZO YA GLOBE SOCCER KWA MARA YA TANO
Reviewed by seekertz
on
January 04, 2019
Rating: 5
No comments