TETESI ZA USAJILI YANGA
Mshambuliaji Issa Bigirimana kutoka APR ya Rwanda anadaiwa kuwa muda wowote atatua nchini kumalizana na Yanga Sc.
Mshambuliaji huyo ambaye mkataba wake na APR unamalizika Julai 3 mwaka huu amesema yupo tayari kuichezea Yanga Sc kwasababu anaona ni muda wake muafaka wa kuondoka klabuni hapo.
Bigirimana mpaka sasa ameifungia klabu yake mabao 7 huku kinara akiwa na mabao 11 kunako Ligi hiyo.
No comments