Breaking News

RAMSEY KUTUA CHELSEA

Pauni Mil.30 kwa Ramsey
.

Chelsea wapo tayari kutoa kitita cha Pauni Milioni 30 kupata saini ya kiungo Aaron Ramsey kutoka Arsenal, kwa mujibu wa taarifa kutoka Mail on Sunday.
.

Kocha mpya wa Arsenal Unai Emery wiki chache zilizopita alisema kwama anaamini kiungo huyo wa kimataifa wa Wales atabaki Emirates. #SokaLiveUpdates

No comments